NENO NA MAANA YAKE
Shimboni Shikamoo --(Habari yako?)
Shimboni mae/mbe Shikamoo mama/baba?
Nasicha -- Nzuri
Aika --Ahsante
*mae/mbe yanaweza kuwekwa mbele ya neno lolote la salamu
m.f.) "Aika mae" "Aika mbe"
Aika mana -- Ahsante mtoto
Rakucha,lakucha-- Usiku mwema
Chamecha Pole na...(hasa kwa safari)
Otana -- Pole na kazi.
Okora mae -Ahsante mama kwa kunipikia chakula
(Okora mae lipo ila huwezi kusema "Okora mbe" useme tu "Aika mbe" kama baba akipika chakula labda)
Nokyelaonacho? Nukelaho u? - Unaitwa nani?(hii inategemea ni mchaga wawapi)
Ngikyelao? Njikelaho? ~~~ Naitwa ~~~
Oroka, Horoka-- Simama
Ramia, Damia-- Kaa
Tikira --Sogea
Shinde! Nnde-- Twende!
Ngicho njaa mae , Njiicho Njaa mae-- Nina njaa mama
Ngacho gicho kie , njiicho njichokie -- Nimechoka
Gayuja mae, Ngaihuda mae- Nimeshiba mama
Ngicho nbeyo,njiicho mbeo-- Nina baridi
Ngicho mrike,njiicho mrike Ninasikia joto
maruwa-- maziwa
(Ruwa ina maana ya Mungu kwao katika kichaga ila hapa "maruwa" halihusiani na Ruwa)
memba--Ndizi
Maimba --mahindi
mbuya --rafiki
Ijumaa, 10 Julai 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Nakupenda sana kwakichaga ?
JibuFutacde
FutaNjikukundi mnuu @ kichaga cha Uru
FutaBaraka
FutaCalvin
FutaNgikikundi
FutaNgekukundaa denyi
FutaNakupenda sana
FutaNakupenda
JibuFutaNakukunda
FutaRajab
FutaNice
JibuFutaMeemba ni mahindi na ndizi ni iruhu
JibuFutaShimboni
JibuFutaAsante mim wa rombo
JibuFutaNapenda Sana kuongea kichaga
JibuFutaAsanteh mama kwa yote ulionifanyia kwa kichaga unasemaje ?
JibuFutaJulius
FutaBibi kwa kichagga
JibuFutaMsheku/ichi ni cha rombo
FutaMsheku
FutaUkitaka kusema bado nakupenda kwa kichaga
JibuFutaBado ngikukundi /ichi ni cha rombo
FutaBado nakupenda sana
FutaMke kwa kichaga anaitwaje?
JibuFutaMkaa
FutaJose
FutaMkaa
FutaMfele icho ni kichaga cha rombo
FutaNipo na familia yangu hapa
JibuFutaSiraki kusikia kwa kichaga
JibuFutaSimba kwa kichaga anaitwaje
JibuFutaHappy birthday to you kwa kipare
JibuFutaMaaana ya neno la kichaga mbonaa
JibuFutaHe nikitaka kufundishwa kichaga kupitia cm inawezekana?
JibuFutaInawezekana
FutaNaitaji kujifunza
JibuFutaUnatak kujua cha wap
FutaNaomba msaada wa maana ya jina la Ndekia
JibuFutaNatamaniiii sanaaa kujuaaaa kichagaa
JibuFutaNi raisi ukijifunza
FutaNataman kujifunza kichaga Cha machame
Futamaruwa ni maziwa
JibuFutaJamani ndugu zangu naomba mniambie maana ya muziki kwa kichaga
JibuFutaBaba kwa kichag unasemaje
JibuFutaMbe
FutaTata/ichi ni kichaga cha rombo
FutaMsamiati
JibuFutanini maana ya neno la kichaga 'esholati'
JibuFutaNimeipenda lugha ya kichaga pia nataman nijifunz
JibuFutaMpenzi kwa kichaga
JibuFutaMH asilimia kubwa mnaongea kimarangu mbona lafuzi ya kimachame haipo? Kwamfano kichaga cha machame ctrit natamani nacho mkitafsir kwanitunatofautiana kamaiyo aika ruwa SS tunasema ekairuwa.
JibuFutaKiufupi najivunia kuwamchaga kwani hakuna mchaga fala,WACHAGA HOYEEEE.
Oyeeeeee
FutaMaana ya neno amba loi kiswahili
JibuFutamadunde mkarii kutayee!!!Maana ya haya maneno kwa kichagga
JibuFutaUshauri wangu Kwa sasa ni kwamba kichaga kifundishwe hasa Kwa watoto Kwa maana asilimia kubwa ya watu hawajui kichaga
JibuFutaNaomba kufundishwa kichaga na mimi nakipenda sana
JibuFutaNimechoka sana
JibuFuta